У нас вы можете посмотреть бесплатно Viongozi waendelea kuibua wasiwasi kuhusu kiini cha kifo cha Jirongo. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Aliyekuwa mbunge wa Lugari Cyrus Jirongo amezikwa leo hii eneo la Lumakanda, Kakamega. Maswali kuhusu kifo chake yamejitokeza, viongozi mbalimbali wakimsifia na pia wakitaka uchunguzi wa kina kufanyika. Aidha, siasa za muungano wa jamii ya Mulembe zimesheheni, viongozi wa Mulembe walioko serikalini wakisutwa kwa kukosa kuangazia maslahi ya Mulembe . Japo Walio serikalini wakisisitiza kwamba wataunganisha jamii hiyo na kuunga mkono serikali ya Rais William Ruto.