У нас вы можете посмотреть бесплатно Soggy Doggy: Je shilingi milioni 700 walizoshinda za wimbo wa ‘sikutaki tena’ wamelipwa? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Anselm Tryphone Ngaiza maarufu kama Soggy Doggy Anter @soggydoggyanter ni msanii wa miondoko ya Hip Hop nchini Tanzania ambaye aliwahi kutamba na nyimbo kama Kibanda cha simu, Nilikaona mwaka jana na nyingine nyingi. Soggy ambaye pia hujulikana kama Chief Rumanyika atazunguma na @rmziwanda_official katika nyota wa Afrika mashariki. #bbcswahili #nyotawaafrikamashariki #hiphop Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili