У нас вы можете посмотреть бесплатно Wakulima wa Pamba waongezeka Kasulu, Kigoma Tanzania или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Idadi ya wakulima wa zao la Pamba katika Halmashauri ya Wilaya ya KASULU Mkoani KIGOMA imeongezeka kutoka wakulima MIA MOJA KUMI NA SITA hadi wakulima Elfu MOJA MIA NNE NA SITA. Afisa Kilimo Wilaya ya KASULU, FAIDAYA MISANGO amemweleza kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru MZEE MKONGEA ALI kuwa idadi hiyo imeongezeka katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita ambapo wananchi wengi wamevutiwa na kutokana maboresho yaliyofanyika katika Bodi ya Pamba usimamizi na upatikanaji wa soko la uhakika.