У нас вы можете посмотреть бесплатно Mwanafunzi wa miaka 11 afariki kwenye kidimbwi shuleni или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Familia moja eneo la Eastleigh inalilia haki baada ya mwana wao mwenye umri wa miaka 11 kufariki ndani ya kidimbwi cha kuogelea katika shule ya msingi ya visa Oshwal, Parklands. Familia inasema kuwa Iilyaas Abdikarim Ali Mohamud alitoweka shuleni jana na usimamizi wa shule ulijua wakati babake alienda kumchukua mwendo wa saa kumi jioni. Juhudi za kumtafuta zilianza hadi leo mwendo wa saa tano mchana wakati mwili wake ulipatikana.