У нас вы можете посмотреть бесплатно Prof Makame Mbarawa;Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Ujenzi Profesa Makame Mbarawa amewataka viongozi wa mikoa ambayo inamiradi ya barabara inapita kwenye maeneo Yao kuhakikisha wanashughulikia madai ya fidia za wananchi kabla ya mradi haijaanza ili kuepuka vikwanzo vya kusimamia Kwa Ujenzi hali ambayo inachangia kuchelewa kukamilika Kwa Miradi hiyo. Rai hiyo ameitoa wakati wa uzinduzi wa mradi wa barabara Kwa kiwango chalami kutoka Pangani hadi Mkange na yenye urefu waKm 120.8 pamoja na daraja lenye ukubwa wa meta 525 iliyofanyika mkoani Tanga