У нас вы можете посмотреть бесплатно ALIVYOKUTWA KWA MWANAUME BAADA YA KUAGA ANAENDA KUCHUKUA SAA KWA MWANAFUNZI MWENZAKE ARUSHA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwanafunzi wa kidato cha nne anayesoma shule ya Sekondari Olorieni kata ya Olorieni Jijini Arusha, amekutwa kwenye chumba cha mwanaume ikiwa ni siku ya nne imepita baada ya kuaga anaenda kuchukua saa yake ya mkononi kwa rafiki yake. Inaelezwa kuwa mwanafunzi huyo aliondoka nyumbani kwao Machi 14, 2025 majira ya saa moja jioni akiacha ujumbe kwa mfanyakazi wa nyumbani kwao kuwa anafuata saa yake ya mkononi kwa rafiki yake, na mara baada ya kuondoka hakurejea hadi alipokutwa katika chumba cha mwanaume mmoja ambaye amepanga karibu na nyumbani kwao. #breakingnews #trendingvideo #livestream #lifestyle #live #trendingshorts #trending #like #gadi GADI TV ndiyo Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: [email protected] Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV Thanks.