У нас вы можете посмотреть бесплатно SHEREHE: Kitu vijana wa Shalom walifanya kwenye sherehe ya Kaswa jumapili Febr 24 2019 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Jina Yohana Mohamed Kaswa sio jina geni masikioni mwa vijana wa Shalom Temple hapa Kahama, huyu ni miongoni mwa vijana wa Shalom wanaojitoa katika matukio mbalimbali ya kikanisa hapa Shalom Temple, Jumapili February 24 2019 kijana huyu alifunga ndoa na binti toka kanisa la mahali Bethania kanisa linalochungwa na mchungaji kiongozi Leonard Maduka, katika video fupi hapa inaonyesha namna vajana wenzake toka Shalom Temple walifanya katika sherehe yake, karibu kutazama video. sherehe ilifanyika ukumbi wa FPCT Shalom Temple hapahapa kanisani