У нас вы можете посмотреть бесплатно Kwanini noti za benki nchini Malawi zinaharibika haraka? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Benki Kuu ya Malawi imesema imetumia dola milioni 16 kubadilisha noti za benki zilizoharibika mwaka huu. Benki hiyo inasema kuwa watu wanafaa kuhimizwa kutumia noti vizuri kwasababu matumizi mabaya yanasababisha fedha hizo kuharibika haraka. Raia wa Malawi wamehimizwa kuzingatia zaidi malipo ya kielektroniki ili kusaidia nchi kupunguza matumizi ya fedha za kigeni. Mwandishi wetu Nomsa Maseko alitembelea taifa hilo lililoko eneo la Kusini mwa Afrika kufahamu kwanini noti hizo zinaharibika haraka. #bbcswahili #biasharabomba #fedha #