У нас вы можете посмотреть бесплатно MANISPAA YA IRINGA YAPOKEA MILIONI 800 KUJENGA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA WILAYA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KATIKA kuhakikisha kunakuwepo na huduma bora na endelevu za afya kwa mama na mtoto wakati wote, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imepokea Shilingi Milioni 800 kutoka Serikalini kwa ajili ya ujenzi ya wodi ya wazazi katika Hospitali ya wilaya ya Iringa kwa lengo la kupanua wigo wa utoaji wa huduma za afya katika hospitali hiyo inayohudumia zaidi ya wagonjwa Laki Mbili katika eneo hilo na baadhi ya maeneo ya jirani.