У нас вы можете посмотреть бесплатно Mkurugenzi wa mashtaka ya umma Renson Igonga akosoa mauaji ya polisi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma Renson Igonga ameshutumu Mamlaka ya kuangazia utendakazi wa polisi IPOA na idara ya upelelezi DCI kwa kukosa kuwasilisha ushahidi muhimu kuhusu kesi za madai ya polisi kukiuka sheria. Akizungumza jijini Nairobi alipozindua mtaala kuhusu mashtaka ya ugaidi Igonga amesema kesi nyingi ambazo hazijakamilishwa zinawahusu maafisa wa usalama. Miongoni mwa kesi hizo ni kisa cha polisi kudaiwa kuwapiga risasi watu wawili mtaani Kitengela.