У нас вы можете посмотреть бесплатно Mwanachuo auawa kwa kuchomwa na kisu hosteli Morogoro, wenzake wafunguka kwa huzuni или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kilichopo Manispaa ya Morogoro, Hajrat Shaban ameuawa baada ya kuvamiwa akiwa kwenye hosteli za chuo na kuchomwa kisu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama leo Jumatano Aprili 17, 202. Kamanda Mkama amesema tukio hilo limetokea eneo la Mkundi jana Aprili 16, 2024 ambapo marehemu alichomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kifo. “Tunafanya uchunguzi wa kifo cha Hajrat Shaban (22) mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kilichopo Mtaa wa Bwawani Kata ya Mkundi, tukio hilo lililotokea Aprili 16, 2024 majira ya saa 2:00 usiku. “Tukio limetokea wakati binti huyo na wenzake wakiwa katika makazi yao ya pamoja (hosteli) ambapo walimkamata kijana mmoja aliyekuwa amekwapua simu, walipojaribu kumdhibiti ndipo alimjeruhi marehemu kwa kumchoma na kisu. Kabla ya hapo alipelekwa Zahanati iitwayo Habemes ambapo alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu,”amesema Kamanda Mkama.