У нас вы можете посмотреть бесплатно Binti ambaye wazazi na wadogo zake walifariki dunia wakielekea kwenye mahafali yake afaulu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Anna Zambi, Binti wa Miaka 16 aliyeopoteza Wazazi pamoja na wadogo zake baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na Maji wilayani Handeni, Tanga amesema alitamani kufanya vyema zaidi kwenye Mitihani ya Kidato cha Nne ambapo amepata Daraja la Pili. Anna ambaye Wazazi na wadogo zake walifariki dunia Mwaka jana wakiwa njiani kwenda kwenye mahafali yake mkoani Kilimanjaro, amekutana na Ramadhan Mvungi nyumbani kwa mama yake mdogo jijini Arusha. #AzamTVUpdates #AzamTVApp #AzamTV #AzamTWO #AzamTVHabari #Habari #UTV #UFM