У нас вы можете посмотреть бесплатно MV Mwanza kutumia Saa sita kutoka Mwanza hadi Bukoba или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) Eric Hamissi amesema kukamilika kwa meli ya MV Mwanza "Hapa Kazi Tu" kutaifanya safari ya Mwanza hadi Bukoba kuchukua Saa nane pekee ikilinganishwa na Saa tisa hadi 10 zinazotumiwa na Meli ya New MV Victoria "Hapa Kazi Tu". Ujenzi wa meli hiyo ambayo imeshushwa majini leo kwa mara ya kwanza umegharimu Sh109 bilioni huku ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 1,200, tani 400 za mizigo na magari 20 yakiwemo makubwa matatu.