У нас вы можете посмотреть бесплатно VIONGOZI WAKIMILA WAMSHUKURU MAMA REGINA LOWASSA KWA KUTIMIZA AHADI. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Leo tar.27/11/2025 Mke wa aliye kua Waziri mkuu Hayati Edward Lowassa,ambae ni Mama Regina Lowassa atimiza ahadi yake ya kuwapa Wazee wa kimila (Malaigwanan) viti 150 ahadi aliyo kua ameahidi kipindi Cha miezi kadhaa iliyo pita kwa kumtuma muwakilishi wa Boma Mhe.Joji Lowassa katika Kijiji Cha Nanja Wilayani Monduli. Akikabidhiwa viti hivyo muwakilishi wa wazee wa mila yaani (Laigwanan) Ndugu.Buluka Ngaimeria aliweza kumshukuru Mama Regina Lowassa kwa Kutimiza ahadi hiyo. Aidha aliweza kupokea kwa niaba ya wazee wengine walio kuwa hawapo eneo Hilo.