У нас вы можете посмотреть бесплатно Kumbukumbu ya Baba wa Taifa: Tunatunza Maliasili Kwa Heshima na uzalendo kwa ajili ya vizazi vijavyo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Maelezo kutoka kwa Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Neema Mollel kutoka Ofisi Kiunganishi iliyopo jijini Dar es Salaam, kuhusu kumuenzi Mhifadhi Namba Moja Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, katika Siku ya Kumbukizi ya Kifo cha Hayati Baba wa Taifa, iliyoadhimishwa Oktoba 14, 2025, katika Ofisi za Nyumba ya Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kamishna Neema aliwasisitiza Watanzania kuendelea kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kutunza na kuhifadhi maliasili ambazo alizianzisha na kuzipigania kwa moyo wa uzalendo.