У нас вы можете посмотреть бесплатно Waziri wa zamani Chirau Mwakwere ateuliwa kuwa msemaji wa Mijikenda или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa zamani Chirau Ali Mwakwere ametawazwa kuwa msemaji wa jamii ya Mijikenda inayojumuisha makabila tisa. Mamia ya wanajamii, wazee wa kaya na wasomi walikongamana katika boma la ronald ngala aliyekuwa waziri katika utawala wa rais wa kwanza Mzee Jomo Kenyatta huko Kaloleni kaunti ya Kilifi. Mwakwere pamoja na aliyekuwa mkuu wa majeshi Generali Samson Mwathethe wametaka umoja wa mijikenda na wanasiasa kukoma kuingilia muungano huo.