У нас вы можете посмотреть бесплатно Serikali yajipanga kuwawezesha boti za mwendokasi wavuvi wa Bagamoyo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema Serikali imejipanga kuwawezesha wavuvi vifaa vya kisasa ikiwemo boti kwa lengo la kuwawezesha kuvua samaki kwenye kina kirefu ili waongeza uzalishaji wa samaki, kuinua uchumi wao na kukuza pato la taifa. Ndaki alibainisha hiyo wakati wa hafla fupi ya kuzindua na kukabidhi jengo jipya kwa Kikundi Shirikishi cha Ulinzi wa Rasilimali za Uvuvi cha Dunda (BMU) kwa ajili ya kuimarisha ulinzi wa rasilimali za bahari katika Ukanda wa Pwani ya Bahari ya Hindi iliyofanyika Wilayani Bagamoyo.