У нас вы можете посмотреть бесплатно 🛑liveAGIZO LA MAKONDA KUHUSU UREJESHWAJI MAWE YA MPAKA WA LONGIDO NA MONDULI LATEKELEZWA📍🇹🇿 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakuu wa wilaya za Longido na Monduli wameongoza zoezi la urejeshaji wa mawe ya mpaka wa Longido na Monduli ambayo yaling'olewa awali. ikumbukwe zoezi hili ni Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Cristian Makonda,alipowataka wakuu hao wa Wilaya kuhakikisha wanasimamia haraka urudishwaji wa mawe hayo ili kuendelea kuleta amani na utulivu katika wilaya hizo mbili. Kauli hiyo aliitoa katika hafla ya uzinduzi wa ugawaji fidia kwa wananchi 595 katika mradi wa magadi soda Eneo la Engaruka wilaya ya Monduli. katizo zoezi hilo Wakuu wa Wilaya waliambatana na Mbunge wa longido na Naibu Waziri madini wenyeviti wa halmashauri,wenyeviti wa Ccm,Maafisa Ardhi,Mpima Ardhi,madiwani ,Viongozi wa kimila pamoja wananchi wa maeneo ya kata za karibu na maeneo hayo. #breaking_news #ccm #azamtv #wasafitv #uvccm #viralvideo #wizara #quotes #magazeti #tanzania #ikulumawasiliano #nature @Smile media update.