У нас вы можете посмотреть бесплатно UGOMVI HUU UNA FAIDA GANI KWAKO? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika ujumbe huu Mtumishi wa Mungu Apostle Mtalemwa amesisitiza kuachana na vita na malumbano yasiyokupa faida katika maisha,Jiulize huyo/hao unaopambana nao ukishinda unapata nini? Mtume anasisitiza kijufunza kwa Daudi aliyedharau vita na kaka yake Eliabu na kuendelea mbele kupigana na Goliath ili apewe thawabu baada ya kumshinda. Usishau ku-subscribe channel hii na kuwaeleza wengine lakini pia tuma sadaka yako kuchangia huduma hii Aritel Money 0682979585. Asante.