• ClipSaver
ClipSaver
Русские видео
  • Смешные видео
  • Приколы
  • Обзоры
  • Новости
  • Тесты
  • Спорт
  • Любовь
  • Музыка
  • Разное
Сейчас в тренде
  • Фейгин лайф
  • Три кота
  • Самвел адамян
  • А4 ютуб
  • скачать бит
  • гитара с нуля
Иностранные видео
  • Funny Babies
  • Funny Sports
  • Funny Animals
  • Funny Pranks
  • Funny Magic
  • Funny Vines
  • Funny Virals
  • Funny K-Pop

"Nilikuwa Naitwa Bahili!' Dr Cheni Asimulia A-Z Historia Ya Maisha Yake | SALAMA NA DR CHENI PART 1 скачать в хорошем качестве

"Nilikuwa Naitwa Bahili!' Dr Cheni Asimulia A-Z Historia Ya Maisha Yake | SALAMA NA DR CHENI PART 1 2 years ago

Yah StoneTown YahStoneTown

SalamaJabir

SalamaNa

MarcoChali

Jokate

FidQ

MxCarter

KhadijaKopa

Gigi Money

Gigy Money

MwanaFA

Ay

DiamondPlatnumz

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
  • Поделиться ВК
  • Поделиться в ОК
  •  
  •  


Скачать видео с ютуб по ссылке или смотреть без блокировок на сайте: "Nilikuwa Naitwa Bahili!' Dr Cheni Asimulia A-Z Historia Ya Maisha Yake | SALAMA NA DR CHENI PART 1 в качестве 4k

У нас вы можете посмотреть бесплатно "Nilikuwa Naitwa Bahili!' Dr Cheni Asimulia A-Z Historia Ya Maisha Yake | SALAMA NA DR CHENI PART 1 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Скачать mp3 с ютуба отдельным файлом. Бесплатный рингтон "Nilikuwa Naitwa Bahili!' Dr Cheni Asimulia A-Z Historia Ya Maisha Yake | SALAMA NA DR CHENI PART 1 в формате MP3:


Если кнопки скачивания не загрузились НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru



"Nilikuwa Naitwa Bahili!' Dr Cheni Asimulia A-Z Historia Ya Maisha Yake | SALAMA NA DR CHENI PART 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 Growing up kwenye mitaa ya Dar es Salaam na TV stations kali wakati huo zilikua na presenters makini na vijana ambao kwa kiasi kikubwa waliifanya tasnia hiyo ipendeze sana. Kuanzia vipindi vya watoto, vya muziki, filamu kutoka nje na tamthilia kutoka nje pia zilikua tamu sana, ukianza kuangalia TV kuanzia jioni hakuna mtu alikua anabanduka mpaka saa nne au tano za usiku, na kama ulikua jobless kama mimi enzi hizo basi ulikua unaunganisha na kuangalia marudio ya vipindi vya muziki ambavyo tayari ulikua ushaviona jioni yake, ila kwasababu ya utamu wake na ku enjoy kile unaona kurudia ilikua easy tu. Sasa likaja wimbi la tamthilia za NDANI, kutoka hapa hapa nyumbani, na nikiwa kama mkazi na mtoto wa Magomeni (Mtaa wa Korongo namba 10 pale kama Downing Street) 🤣 ilikua ma star hawa tunawaona tu kwa mbali na kuwaangalia kwa admiration ya hali ya juu. Cheni, au niseme Dr Cheni naye alikua ni moja ya hao watu, ah, yale ndo yalikua maisha sasa. Yoyote ambaye alikua anapata nafasi ya kuonekana kwenye TV alikua ananyooosha kweli kweli, chochote ambacho anaambiwa ‘acheze’ alikua anakipa uhalisia wa 100%, watu walikua na kiu ya mafanikio sana na jengine kubwa kuliko yote, watu WALIKUA WANAPENDA ambacho WANAFANYA. Na hii simaanishi kumvunjia heshima yoyote yule ambaye anaifanya kazi hiyo leo hii, ila nasemea miaka hiyo ambayo ili uweze kutoboa ilikua inabidi upate ‘upenyo’ ambao nao ukipatikana inabidi uutendee haki sana sana vyenginevyo atatokea mtu huko anakotoka ajipitishe tu kwa miondoko ya ambayo alipita nayo Dr Cheni na kupata nafasi ambayo mpaka leo ndo imefikisha hapo alipo. Again, si kwa ubaya, skuizi unaweza kuwa star wa kwenye social media tu na mambo yako yakakuendea na baada ya mwezi au wiki kadhaa kama huna jipya watu wanakusahau. Dr Cheni anakumbuka kama ilikua jana jinsi ambavyo alipata shavu lake la kwanza la kuwa kwenye mchezo wa kuigiza wa TV, haikua imepangwa na wenye mchezo wao ila yeye alikua amejipanga vizuri tu, alikua amenuia kabisa kwamba vile ndivyo atakavyo fanya ili aonekane na boy alionekana. Kama mtu ambaye tayari alishaanza kushika hela kutokana na kazi zake za udereva, Dr Cheni anakumbuka jinsi ambavyo alianza kuzichanga zile ambazo alikua anazipata kidogo kidogo ili atimize ndoto yake, khadithi yake kwa kiasi flani ilianzia hapo, nami nilitaka kujua hiyo heshima yake na pesa aliitoa wapi? Kutoka kuwa dereva wa daladala mpaka kuwa mmliki wa gari. Huko alifikaje? Na jibu lilikua moja tu, HESHIMA kwa PESA na HESHIMA kwa NDOTO na MALENGO yake. Alifanikiwa sana mwenzetu. Na ndo huyu mpaka leo ambaye bado anaendea kuwepo na upepo kuuhamishia kwenye ku host harusi za watu mbali mbali ambao wengi wao humpa kazi kwasababu tu walishawahi kumuona kwenye TV wakati wanakua, ukiachana na ukweli kwamba yeye ni mmoja kati ya ma MC HODARI kabisa ambao wako sasa kwenye industry hiyo. Akiwa kama Baba mwenye jukumu kubwa la kuiangalia familia yake inavyokua, Dr Cheni anajua kutimiza majukumu na wajibu wake wa kila siku, kupangilia mambo yake ili asiwakwaze wengine ambao wanamtegemea (hasa wale ambao anawafanyia kazi zao za harusi). Kwake yeye kuwa kwenye wakati muafaka ni kila kitu. Na hiyo kwa kiasi kikubwa imesababisha yeye kuwa chaguo la kwanza kwa wengi ambao wanataka sherehe zao zifane. Na je vipi sasa kwenye suala zima la filamu na maigizo? Huko nako kashakimbia? Soko limekaaje? Mipango yake ya baadae je? Yote haya na zaidi yako kwenye lisaa limoja na na dakika 16 ya Podcast hii kama utaskiliza au lisaa limoja la kuangalia naamini litakufungulia mengi. Tafadhali Enjoy. Love, Salama. Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ ‪ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack ‪YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali    • Marco Chali Feat One The Incredible &...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown   Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Comments
  • 2 years ago
    "Sijawahi Kuutafuta Umaarufu, Wema Asipopokea Simu Yangu Namuelewa" | SALAMA NA MARTIN KADINDA PT2
    Опубликовано: 2 years ago
    14971
  • Kanumba Aliondoka Na Bongo Movie? Dr Cheni Afunguka Mwanzo Mwisho | SALAMA NA DR CHENI PART 2 2 years ago
    Kanumba Aliondoka Na Bongo Movie? Dr Cheni Afunguka Mwanzo Mwisho | SALAMA NA DR CHENI PART 2
    Опубликовано: 2 years ago
    17449
  • Богатый Техас и трешовая Луизиана: мой роуд-трип по югу США | Интервью с ковбоями, мигранты, Трамп 4 days ago
    Богатый Техас и трешовая Луизиана: мой роуд-трип по югу США | Интервью с ковбоями, мигранты, Трамп
    Опубликовано: 4 days ago
    614439
  • Что не так с Западом? Мигранты, левые, цензура / вДудь 2 days ago
    Что не так с Западом? Мигранты, левые, цензура / вДудь
    Опубликовано: 2 days ago
    1471243
  • Си Цзиньпин | Кто управляет Китаем (English subtitles) @Max_Katz​ 12 hours ago
    Си Цзиньпин | Кто управляет Китаем (English subtitles) @Max_Katz​
    Опубликовано: 12 hours ago
    325436
  • Beat Neymar, Win $500,000 12 hours ago
    Beat Neymar, Win $500,000
    Опубликовано: 12 hours ago
    26830729
  • HII NI HATARI!! GWAJIMA AFICHUA WANAOHUSIKA NA UTEKAJI WA WATU, AJA NA ORODHA YA WALIOTEKWA 1 hour ago
    HII NI HATARI!! GWAJIMA AFICHUA WANAOHUSIKA NA UTEKAJI WA WATU, AJA NA ORODHA YA WALIOTEKWA
    Опубликовано: 1 hour ago
    842
  • Муборакшо Мирзошоев  | MP3 | MUBORAKSHO 6 years ago
    Муборакшо Мирзошоев | MP3 | MUBORAKSHO
    Опубликовано: 6 years ago
    3207709
  • Психосоматика. Как мысли и эмоции РАЗРУШАЮТ ТВОЕ ТЕЛО? Роман Сухинин про боль и спазмы 9 days ago
    Психосоматика. Как мысли и эмоции РАЗРУШАЮТ ТВОЕ ТЕЛО? Роман Сухинин про боль и спазмы
    Опубликовано: 9 days ago
    248870
  • I Spent $5,000,000 So You Can Go To Space For FREE 12 hours ago
    I Spent $5,000,000 So You Can Go To Space For FREE
    Опубликовано: 12 hours ago
    2460832

Контактный email для правообладателей: [email protected] © 2017 - 2025

Отказ от ответственности - Disclaimer Правообладателям - DMCA Условия использования сайта - TOS