У нас вы можете посмотреть бесплатно Kwanini mama huyu aliamua kumuuza mwanae kwa dola 90? - Upekuzi wa BBC Africa Eye или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
"Maisha yalikuwa magumu wakati huo,Nililazimika kuacha shule na kujitunza mwenyewe." Adama ni mmoja kati ya kina mama walionaswa wakiuza watoto wao wa kuwazaa. Mwezi moja tangu upekuzi wa BBC Africa Eye ulipofichua biashara haramu ya watoto katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, polisi waliwakamata watu 7 kwa makosa ya kusafirisha watu. Lakini vipi kuhusu wanawake wa upande mwingine wa mikataba hii haramu? Ni nini kinachomsukuma mama mzazi kuuza mtoto wake kwa dola $90? #Mtoto #Mama #BBCAfricaEye