У нас вы можете посмотреть бесплатно BARAZA LA MADIWANI LAWAFUKUZA KAZI WATUMISHI WA AFYA WAWILI,WAWILI KUPUNGUZIWA 15% YA MISHAHARA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya urambo limewafukuza kazi watumishi wa afya wawili na wawali kushushiwa mishahara baada ya kukutwa na hatia ya makosa mbalimbali Baraza la madiwani la madiwani la halmashauri ya wilaya ya urambo limewaazimia na kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi wa afya wanne ikiwemo kuwafukuza kazi watumishi wawili waliokutwa na makosa ya utoro kazini na wengine wawili kuwapunguzia mishahara baada ya kukutwa makosa ya kulewa pombe akiwa kazini na kuzibua milija ya uzazi kinyume na taaluma yake Mwenyekiti wa wa halmashauri hiyo adam malunkwi amesema baraza limekaa kamati na kuwaazimia watumishi hao baada ya kufanya uchunguzi wa kina na kukutwa na hatia ya kutenda makosa hayo na kuwashushia mshahara watumishi wawili david salumu ambaye ni muuguzi mkuu msadizi kwa kulewa kazini na kumpunguzia asilimia 15 ya mshahara wake kwa miaka mitatu bila kupanda cheo na Patrick ghati ambaye ni afisa afya mazingira msaidizi daraja la pili kwa kosa la kuzibua milija ya uzazi kunyume na taaluma yake Ameongeza kuwa baraza hilo limewafukuza kazi watumishi wengine wawili ambao ni Palestina Emmanuel muuguzi daraja la pili na Ally Saidi afisa muuguzi msaidizi daraja la kwanza kwa makosa ya utoro kazini Ikumbukwe tarahe 23 mwezi wa 8 mwaka huu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wailaya ya urambo grace quntine aliunda tume ya uchunguzi wa malalamiko kutoka kwa wananchi baada ya kuongezeka malalamiko kutoka kwa wagonjwa yaiwalenga watoa huduma wa afya Awali madiwani wa halmashauri hiyo walifikisha malalamiko kutoka kwa wananchi wao na wengine kushuhudia vitendo vya utovu wa nidhamu kutoka kwa watumishi wa afya wa hospitali ya wilaya wakisema wamekuwa wakikiuka mizingi ya maadili ya utumishi kwa kuomba rushwa wagonjwa,kutibu magonjwa ambayo hawana taluma nayo,kulewa kazini na wengine kushindwa kuwahudumia wagonjwa wakisema mambo hayo hatavumilika wilayani humo #cgonlinetv #itv #marvelstudios #millardayo #etv #tbconline #alikiba #etvnews #mbosso #wasafi @Gumusuofficial1TvTanzania @cgonlinetv6822 @mbokatv @kaliuaOneTv @TBC_Online @Wasafi_Media @YoungAfricansSCTV @FinestInline @Alanwalkermusic @amazon @bollywo @MTV