У нас вы можете посмотреть бесплатно Watu wasiojulikana wavunja na kuharibu madhabahu kanisa katoliki Jimbo la Geita или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika hali isiyo ya kawaida kijana anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 hadi 27 ambae hajafahamika jina wala alipotokea amevunja kioo cha lango kuu la kanisa kuu la kiaskofu Jimbo la Geita na kufanikiwa kuingia ndani kisha kuharibu vifaa mbalimbali vilivyokuwa Altare na kusababisha hasara ya mamilioni ya fedha pamoja na kuitia kufuru altare. Mwannachi digtal imefika kanisani hapo na kushughudia uharibifu uliofanywa na kukutana na Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita Flavian Kassala ambae hapa anaeleza hali ilivyokuwa.