У нас вы можете посмотреть бесплатно Magatuzini: Wakazi Isiolo waandamana kufuatia kuuawa kwa kupigwa risasi kwa mwanamme mmoja или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakazi wa vijiji vya Kambi ya Juu na Kulamawe katika Wadi ya Bulapesa, kaunti ya Isiolo, wameandamana na kufunga barabara inayounganisha vijiji hivyo viwili na mji wa Isiolo, kufuatia kuuawa kwa kupigwa risasi kwa mwanamme mwenye umri wa miaka 23. Wakati huo huo, vijana katika kaunti ya Migori wamehimizwa kujisajili kwenye vyama vya ushirika katika mfumo wa ununuzi wa kielektroniki wa serikali ili waweze kuwania zabuni za serikali. Taarifa kamili ni kwenye mseto wa kaunti. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: / kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive