У нас вы можете посмотреть бесплатно Rigathi Gachagua anasema marais wa Afrika Mashariki wanaambukizana tabia mbaya! или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Cheche za maneno, mirengo mipya ya kisiasa na ubabe wa vyama tayari imeanza kusheheni nchini Kenya, miezi 14 tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Miongoni mwa viongozi wanaogonga vichwa vya habari ni pamoja na aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aliyetimuliwa kazini miezi kadhaa iliyopita. Gachagua amekuwa akiendeleza kampeini ya kuunda muungano wa upinzani kwa nia ya kumng'oa madarakani Rais William Ruto. Gachagua amezungumza na BBC kuhusu azma yake ya kuwania urais... #DiraYaDuniaTV