У нас вы можете посмотреть бесплатно FAIDA ZA KUNYAMAZA AMA UKIMYA KWA MTU ALIYEOKOKA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
NJH MINISTRIES Tv ‐ HEAVEVN INVITATION BWANA YESU ASIFIWE SANA MTOTO WA MUNGU Basi tafsiri ya ukimya tunaweza kuitaja kwa namna hii yakua ni miongoni mwa matunda tisa ya ROHO MTAKATIFU , kwamaana hiyo ukimya ama kujifunza kunyamaza kwa nafasi au kwa baadhi ya mambo ili tuweze kuvuka na kumshinda adui wa msalaba wa KRISTO Wagalatia 5:22-23 [22]Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, [23]upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria. Mpendwa mtu wa MUNGU ni kweli kabisa kwamba tunapoongelea ukimya lazima tuongelee upole kwani ukimya maranyingi hupendeza sana ukiambatana na upole lakini vyote vikifuatana na kiasi Kwasababu upole bila kiasi hukaribisha kuzubaa au utukutu kabisa ikiwa mtu huyo atajeruhiwa na watu wengine na kukasirikia halia yake ya upole Hivyo ni bora sana kujijua na kuweza kutofautisha kati ya upole na kuzubaa husudi tusionewe hovyo au tusipoteze hovyo Basi MUNGU atuwezeshe sote kusudi tuweze kumshinda adui haswa nyakati hizi za mwisho ambazo maandiko yanasema Ufunuo wa Yohana 12:12 [12]Kwa hiyo shangilieni, enyi mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wa nchi na bahari! Kwa maana yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu. Mwenye gadhabu nyingi akijua yakuwa anao wakati mchache tuu !! ‐Mt:G.M.Emmanuel -Facebook , Njh Invitation -0762823422 Whatsapp -YouTube : New Jerusalem Hosanna Ministries Tv -Instagram: New Jerusalem Hosanna ministri