У нас вы можете посмотреть бесплатно MGOMBEA URAIS DKT. SAMIA NA MGOMBEA MWENZA DKT. NCHIMBI KUCHUKUA FOMU INEC KESHO AUG.09 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mgombea wa URAIS kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na mgombea Mwenza Dkt John Nchimbi, wanatarajiwa kuchukua FOMU za kuwania nafasi hiyo katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi INEC kesho Jumamosi. Katibu wa Nec, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya CCM, amesema baada ya wagombea hao kuchukua fomu, watazungumza na wanahabari ofisi za Chama. "Baada ya wagombea wetu kuchukua fomu, watafika katika ofisi hizi za Chama hapa makao makuu na kuzungumza nanyi," CPA Amos Makalla.