У нас вы можете посмотреть бесплатно Klub A-Z Episode 05 PART 2: MAZUNGUMZO NA ABAS CHIONDA - KWA NINI AFRIKA NI BARA LA KIPEKEE SANA!? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Miongoni mwa watanzania wa kawaida kabisa lakini wenye maarifa makubwa sana ya kidunia, ni Abas Chionda a.k.a. mzee wa Kemet, mtu poa kabisa na mnyenyekevu, akifanya kazi zake za mechanics kwenye garage yake maeneo ya Mbezi Beach. Mic ya Klub A-Z ilikutana naye na ikaamua kuchukua madini kutoka kwake kwenye mazungumzo haya marefu. Kwenye sehemu hii ya Pili, Abas anatuambia kwa nini AFRIKA ni bara la kipekee kabisa na ni kitovu cha ustaarabu duniani. ANGALIZO: Anachokisema ndugu Abas Chionda kwenye mazungumzo haya ni uelewa wake kutokana na kusoma kuhusu mambo mbalimbali ya kidunia. Unashauriwa kufanya utafiti wako wa kina pale unapoona hajakutosheleza.