У нас вы можете посмотреть бесплатно TPA yaanza kuimarisha mifumo kuongeza wateja kutoka DRC wanaotumia bandari или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Plasduce Mbossa amesema kuwa tayari wameshaanza ushirikiano wa kwenda katika nchi jirani ili kuweza kuendeleza miundombinu ya bandari kwa lengo la kurahisisha namna ya kuwafikia wateja wa bandari ya Dar es Salaam. Mbossa ameyasema hayo wakati wa ziara ya ya makamishna wa bandari kutoka nchini DRC kwa lengo ya kuangalia utendaji wa bandari ya Dar es Salaam.