У нас вы можете посмотреть бесплатно Jamaa anayetaka kumposa mwanawe Obama azidisha bidii или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Huku rais wa marekani Barrack Obama akitarajiwa kufika nchini mwezi ujao, jamaa mmoja anamsubiri kwa hamu na mahari ya ng'ombe elfu moja , kama posa anayotaka kutoa kwa mwanawe Malia Obama . Jeff Ole Kishau kutoka eneo la Suswa ambaye alipania kutoa pendekezo la kumuoa Malia mnamo mwaka wa 2015 kwa kutoa mahari ya ng'ombe 500 , sasa anasema kuwa atatoa posa mara dufu . Frankline Macharia anasimulia kuhusu bingwa huyu ambaye anatumai kukutana na obama , ijapokuwa obama mwenyewe ,atazuru Kenya bila familia yake