У нас вы можете посмотреть бесплатно Saida Karoli Aeleza Alivyosota Baada ya Kufulia Kimuziki na Kuishi Kama Digidigi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Saida Karoli is back! Baada ya kusota kwa muda mrefu, hatimaye mkali wa ngoma ya Chambua Kama Karanga, Saida Karoli amerejea kwenye gemu baada ya kuachia ngoma yake mpya ya O'rugambo. Mbali na kuzindua wimbo huo, Saida Karoli pia amefuturisha ambapo wasanii mbalimbali wa muziki wa Tanzania, sambamba na waandishi wa habari, walijumuika kwenye futari hiyo. / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 Saida akaitumia nafasi hiyo kuwaeleza mashabiki zake, wasanii wenzake na waandishi wa habari jinsi alivyosota kimaisha, baada ya kufulia kimuziki, hali iliyosababisha aishi maisha magumu sana. Saida Karoli ameeleza jinsi alivyokuwa akiishi kwa kujificha, akiogopa waandishi wa habari wasije wakamuona kutokana na maisha duni aliyokuwa akiishi. "Nimeishi katika maisha magumu sana, kuna wakati nilienda kujichimbia Mbeya Vijijini na ndiyo kipindi hocho nilizushiwa kwamba nimekufa, nakumbuka waandishi wa habari walinifuata mpaka huko kijijini kabisa. "Kwa kweli nawashukuru sana na nawaomba mnipe ushirikiano tena." Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chaneli yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1