У нас вы можете посмотреть бесплатно MPANDA: DIWANI AKATAA GREDA KUKANYAGA KWENYE KATA YAKE KAMA HATAPATA KM 7 ZA BARABARA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Diwani Kata ya Uwanja wa Ndege Manispaa ya Mpanda akataa Greda kukanyaga kwenye Kata yake kama hatapata Km 7 za barabara alizoahidiwa. Diwani wa Kata ya Uwanja wa Ndege Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Maiko Kamande ameitaka Wakala wa barabara za mijini na vijijini (TARURA) kutopeleka greda kwa ajili ya kuchonga barabara katika kata hiyo kama hawataeleza sababu za awali kupanga kukarabati barabara zenye Km 7 na sasa ibaki Km 1. Kamande ametoa msimamo huo leo Januari 31,2023 baada ya taarifa ya TARURA iliyowasilishwa na Menejea wa TARURA Mpanda, Mhandisi Kahoza Joseph katika kikao cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Mpanda na kuonyesha Kata hiyo inatachongewa barabara ya Km 1. Kwa upande wake Mstahiki Meya Manispaa ya Mpanda Haidary Sumry amemtaka Meneja TARURA kukutana na Diwani huyo na kupitia makablasha upya ili ifahamike ni Km 7 au 1 kuondoa sintofahamu hiyo.