У нас вы можете посмотреть бесплатно Wafanyibiashara na wakulima wapinga ushuru wa biashara или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Licha ya kuupigia kura mswada wa fedha ulipowasilishwa bungeni, wabunge wawili kutoka Murang'a wameonekana kupinga baadhi ya yaliyomo kwenye sheria hiyo. Mbunge wa Gatanga Edward Muriu na mwenzake wa Kandara Chege Njuguna hivi majuzi walijumuika na wakulima kuwatimua maafisa wa KRA waliokuwa wakiendesha kampeni kuhusu sheria inayoshinikiza malipo kupitia mpango wa eTIMS. Hata hivyo, maswali yaibuka kuhusu, je, wabunge hawa walitambua walichoidhinisha bungeni walipopitisha mswada wa fedha mwaka jana?