У нас вы можете посмотреть бесплатно Wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya Waadhimisha Kuzaliwa Rais Samia kwa Mshikamano или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wameadhimisha siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kukata keki kama ishara ya mshikamano na pongezi. Maadhimisho hayo yaliongozwa na Diwani wa Kata ya Nsalala, Mhe. Festo Mbilike, aliyempongeza Rais Samia kwa kuwaamini na kuwawezesha vijana kupitia fursa za ajira na mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri. Sherehe hizo zilifanyika Mji Mdogo wa Mbalizi, zikianza na maandamano ya amani ya vijana na bodaboda.