У нас вы можете посмотреть бесплатно Maoni: Nini chanzo cha mgogoro wa Sudan Kusini? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Sudan Kusini ni nchi changa zaidi ulimwenguni tangu ilipojitenga na Sudan na kuwa taifa huru kivyake. Hata hivyo nchi hiyo imezidi kuzongwa na mivutano na maafa ya kisiasa. Kwa sasa hofu imetanda ya kuzuka kwa mvutano mpya huku ikiripotiwa kuwa Uganda imepeleka vikosi vyake Sudan Kusini. Kulikoni? Kipindi cha Maoni mbele ya Meza ya Duara kinachambua chanzo cha migogoro ya Sudan Kusini. Nahodha wa zambu ni Zainab Aziz akiwahoji wachambuzi. #dwkiswahili #dwswahili #dwkiswahilipodcast #maoni #uchambuzi