У нас вы можете посмотреть бесплатно MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR (ACT) KUWASILISHA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA SERIKALINI/AMTAJA BASHE или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman amesema amesikia changamoto mbalimbali za wakulima wa mkoa wa Ruvuma ikiwemo changamoto ya bei za mahindi hivyo atawasilisha changamoto hizo kwa serikali ili wakulima wa mkoa wa Ruvuma waweze kunufaika na kilimo chao. Hayo ameyasema mkoani Ruvuma katika ziara yake ya ujenzi wa Chama Cha ACT Wazalendo katika mikoa ya kusini.