У нас вы можете посмотреть бесплатно ASKOFU ALMACHIUS : SHETANI ANATUMIA SILAHA ULIYONAYO KUKUANGAMIZA... или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika neno lake la Shukrani kwa mahujaji waliohudhuria Hija ya Bikira Maria wa Lurdi Katika Parokia ya Bugene Jimbo Katoliki la Kayanga , Askofu wa Jimbo hilo Almachius Vicent Rweyongeza amesema ''Hija ni sehemu takatifu tuiheshimu kwani sio mahali pa kula ovyo ovyo na kunywa vitu mbali mbali, kwa kufanya hivyo unajichotea moto wa laana badala ya baraka. Na kawaida mnapoenda kusali mzingatie kuwa hamuendi wenyewe, mnaenda na msindikizaji ambaye ni shetani anayekuhimiza kusali na unapofika mahali pa sala atakuletea uchovu utakuta usinzia katika kati ya Ibada, na kulazimika kutoka kabla ya kupata jibu la maombi yako ndio maana unaona wengine wanaondoka kabla ya misa kuisha.." www.radiombiu.co.tz #RmSautiYaFaraja