У нас вы можете посмотреть бесплатно HII KALI! MWENYE NYUMBA AMFUNGIA MPANGAJI SAA 27 NDANI, AMTOLEA VITU NJE или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#HABARI: Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mmiliki wa nyumba Plot namba 149 BLOCK ‘A’ Kihonda Kilimanjaro, Dk. Lusako Mwakiruma ilioyopo Mtaa wa Kilimanjaro Manispaa ya Morogoro, amemfungia ndani mpangaji wake kwa saa 27 kisha kumtolea vitu vyake nje, kwa madai kuwa mpangaji Bw. Paschal Paulo alishindwa kupokea notisi ya kumtaka ahame kwenye nyumba hiyo ndani ya mwezi mmoja. ITV imefika katika Mtaa wa Kilimanjaro na kushuhudia mmiliki wa nyumba hiyo akiwa na wasaidizi wake wakitoa ndani vitu vya mpangaji huyo. #Mpangaji #itvtanzania #habari