У нас вы можете посмотреть бесплатно Tulimpa mtaji Zitto, ACT isingekuwa na nguvu bila siye na sasa tunaondoka-Wafuasi wa Hamad Masoud или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waliokuwa wanachama wa ACT Wazalendo ambao wamejiondoa chamani na kumfuata kiongozi wao Hamad Masoud walikelezea mkasa wa kujitoa kwao. Kwa mujibu wa Msemaji wa ACT Bw. Salim Bimani, Hamad Masoud ana hasira ya kukosa umakamo wa kwanza wa rais ambao aliupata Othman Masoud na pia kukosa Uwenyekiti ambao Babu Duni aliupata baada ya kumshinda katika uchaguzi wa ndani wa chama.