У нас вы можете посмотреть бесплатно SAMIRA Achangia Mifuko 80 ya Saruji na Millioni 2 kwa Wanawake KKKT или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
MAWIO TZ Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera, Mhe. Samira Amour Khalfan ameongoza harambee ya kuchangia ukamilishaji wa ujenzi wa kituo cha Wanawake wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika Jimbo la Kituntu, Wilayani Karagwe, kwa kuchangia mifuko 80 ya saruji na shilingi milioni 2. Mchango huo ulitolewa wakati Samira alikuwa mgeni rasmi katika Siku ya Maombi ya Dunia iliyofanyika tarehe 06/03/2026, iliyoungwa mkono na harambee hiyo. KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: mawiotztv@gmail.com Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana