У нас вы можете посмотреть бесплатно TAHARUKI!!! Kinyerezi, Panya Road wadaiwa kuvamia nyumba 24, wajeruhi na kupora mali или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Maisha ya Wakazi wa Dar es Salaam yameendelea kukumbwa na wasiwasi mzito,baada ya vikundi vya Panya Road kurudi tena kwa kasi,na kuvamia nyumba 24 za wapangaji wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi kisha kuwajeruhi nakupora mali zao. Kwa mujibu wa Wananchi wa Kabaga wameeleza tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia Jana Septemba 06,2022 saa 8 katika maeneo hayo ambapo raia wanne wamejuruhiwa na kwa sasa wapo hospitali ya Amana wakipatiwa matbabu. Hata hivyo,alipotafutwa Kamanda wa Kanda hiyo, Wiliam Mkonda kujua uhalisia wake, amekiri kutokea kwa tukio hilo huku akieleza "Taarifa za tukio hilo nilisha zielezea toka Jana," amesema