У нас вы можете посмотреть бесплатно Nguu za Jadi | Sehemu 1 | Onyesho 1 | Mangwasha, Sayore, Kajewa, Chifu Mshabaha, Mrima, или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
UTANGULIZI Riwaya ya Nguu za jadi ni hadithi iliyoandikwa na Clara Momanyi. Hadithi hii imegawanywa kwa sura sita,kila sura ikitofautiana na ingine kwa mada iliyozingatiwa, wakati wa vitendo na wahusika wanaofuatiliwa.Sura hizi zinafikia kurasa 182.Riwaya hii ni ya aina ya kiepiki. Hii ni kumaanisha, wahusika ambao mwandishi amewatumia ni wakutungwa. Aidha, wahusika hawa hukabilliana na uovu mkubwa katika jamii yao na kwa ukabili huo, huohawafi. Ni hadithi iliyoandikwa kumsisimua msomaji kuangazia yale yanayofanyika katika jamii yake Muhktasari. Riwaya ya Nguu za jadi inazingatia maisha ya Mangwasha ambaye ni mkaazi wa eneo la Matango, nchi yaMatuo. Mangwasha ni wa kabila ya Waketwa ambao wamekuwa wakifilisishwa na walio kabila ya Wakule.Mangwasha pia ameolewa na bwanake ni Mrima, ambaye kwa muda alipotelea ulevini na kumwacha bibina watoto wake wawili, Kajewa na Sayore, taabani. Mangwasha amekuwa marafiki na mgombea kiti cha mtemi wan chi anayeitwa Lonare na wakati wakufanyika kwa hadithi hii hi wa kukaribia Uchaguzi. Pia, anafanya kazi kwa ofisi ya Chifu, ambapo anawezakuona na kupeleleza kuhusu yale maovu wanayopangiwa na Mtemi Lesulia ili wasiweze kuchukua uongozi.Chifu , Mtemi na rafiki yao Sagilu, wanapanga njama ya kufukuza Waketwa waliosishi matango kwakuwachomea makaazi yao, lakini baadaye mpango wao unafeli wanaposhindwa kesi kortini n akulazimikakuwajengea makaazi yao tena. Lonare anarudi kugombea uchaguzi ambapo anaungwa mkono na Mangwasha na pia na wanawe Lombo ,Sauni na Sagura. Pia, anaungwa mkono na watoto wa wapinzani wake Ngoswe na Mashauri nawanasaidiana kupiga kampeni. Siku ya uchaguzi unapokaribia, mambo kadhaa wa kadhaa yanaanzakufanyika. Sagilu anapoteza chanzo cha kugombea kiti na kupoteza akili zake. Bibi ya Mtemi, Nanzia,anafariki na kumwambia Ngoswe kwamba babake halisi ni Sagilu, rafikiye Mtemi. Uchaguzi unapokaribia,Lonare anapotea tena na baadaye tuanelewa kwamba alitekwa nyara na kuteswa kwa nia ya kumfanyaapoteze uchaguzi.Siku ya uchaguzi inapowadia, Lonare anatokea tena akiwa na majeraha na wafuasi wake wanajitoleakuenda kumpigia kura na anashinda uchaguzi huo. Riwaya hii inaisha kwa hotuba ya Lonare ya kwambaangepigana na ufisadi na kuiweka nchi yake inapofaa. @HOMEOFREALERS PRESENTATION 2024