У нас вы можете посмотреть бесплатно KUSAH: Msanii Anayetaka Kumshinda Diamond, Mwenye Historia Inayosisimua! или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KUSAH: Msanii Anayetaka Kumshinda Diamond, Mwenye Historia Ngumu! Miongoni mwa wasanii chipukizi wanaofanya vizuri kwa sasa kwenye gemu ya Bongo Fleva ni, Kusah, anayetamba hivi sasa na ngoma yake ya 'Mkongo', msanii ambaye anataka kuufikisha muziki wa Bongo Fleva kimataifa zaidi kuliko alipoufikisha Diamond. Akizungumza Kwenye Exclusive Interview aliyofanya na Global TV, Kusah amesema, katika harakati zake za muziki amepitia wakati mgumu sana, kuna wakati mpaka alilala njaa na hatamsahau prodyuza Abbah Process na Bonga kwa kumsaidia kufanikisha safari yake ya muziki mpaka hapa alipofikia. Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .