У нас вы можете посмотреть бесплатно WALIMU NA SAFARI ZAO EP 2: Kelvin Mkulia: KWANINI WALIMU WENGI WANABAKI KUWA WA KAWAIDA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kila mwalimu ana hadithi yake; wakati uliomvutia, changamoto iliyomjenga, mwanafunzi na matukio yaliyomkumbusha kwa nini anadumu kuwa mwalimu. Katika mazungumzo haya, tunaleta hadithi hizo halisi. Ungana nami kusikia walimu wakisimulia safari zao binafsi, uhalisia wa darasani, na mafanikio madogo na makubwa yanayowapa nguvu ya kuendelea. Mtazamo wa Kelvin juu ya namna ya kumjenga mwanafunzi ili kufikia hatma yake unavuka mipaka ya darasani na mazoea ya kawaida. Ni mtazamo unaomwona mwanafunzi kama mtu mwenye nafasi kubwa ya kufanikiwa sana kimaisha. Kupitia elimu, nidhamu ya kufikiri, na uongozi wa makusudi, Kelvin anaamini kila mwanafunzi ana nafasi ya kufikia kile alichokusudiwa kuwa. Mtazamo wa Kelvin juu ya namna ya kumjenga mwanafunzi ili kufikia hatma yake, unavuka mipaka ya darasani na mazoea ya kawaida. Je unajifunza nini kutoka kwake? Anakukumbusha jambo gani linalofanana na maisha yako ya kuwa mwalimu? Karibu kuniandikia barua pepe shomaisanzu@gmail.com ili tusimulie safari yako pia. Kila siku, walimu tunayo nafasi ya kuboresha maisha yetu, utumishi wetu na maisha ya tunaowahudumia. Usiache kujifunza.