У нас вы можете посмотреть бесплатно Mbunge wa Jimbo la Nkenge Florent Kyombo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika kikao cha Bunge la Bajeti kinachoendelea Bungeni, Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Florent Kyombo jana tarehe 11/4/2022 Amepata wasaa wa kufuatilia fedha za miradi ya maji inayoendelea kutekelezwa Jimboni ili kuhakikisha wakandarasi wanalipwa kwa wakati ili kazi ya ujenzi wa Miundombinu ya maji ikamilike kwa wakati na azma ya serikali kutua wananchi ndoo kichwani ikamilike. Miradi inayoendelea kwa Sasa pamoja na mingine *iliyoanza kutekelezwa tangu awali ni Mradi Wa Maji; Igayaza/ Byamutemba, Ishozi Kitobo Rutunga/ Rwamachu Visima vya Mwemage, Kyazi, Ruzinga Na Mradi wa Kashekya na Kashaka Majibu ya serikali ni kuwa wakandarasi wameanza kulipwa hivyo kazi zitaendelea na kukamilika kwa wakati. *JMT - KAZI IENDELEE*🇹🇿🇹🇿