У нас вы можете посмотреть бесплатно Magoli na Mikwaju ya Penati | KMC 3-3 Bandari SC (Pen: 2-3) | CRDB Bank Fed. Cup 17/02/2026 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KMC FC imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa penati 3-2 dhidi ya Bandari SC Tanzania kutoka Mtwara inayoshiriki First League. Hii ni baada ya sare ya mabao 3-3 katika dakika 90 ambapo KMC walitangulia kupitia kwa Akram Mhina, Frank Kondo na Juma Sagwe lakini Bandari wakaweka mizani sawa kupia kwa Haruna Shmate na Fredy Mwamakula aliyetia kamba mbili… Tazama hapa magoli yote sita pamoja na penati tisa, KMC wakifunga mbili na kukosa tatu… Bandari wamefunga tatu na kukosa moja.