У нас вы можете посмотреть бесплатно TIKETI YAKO HAKI YAKO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kupitia kampeni yenye kauli mbiu ‘tiketi yako,haki yako’ abiria wanapatiwa elimu juu ya uwepo wa Kitengo cha Malalamiko ya Watumiaji wa Usafiri wa Anga kilichopo ndani ya TCAA,namna kinavyofanya kazi na hatua za kufuata pindi abiria anapohisi haki zake zimepokwa kwa namna mbalimbali. Kupitia kampeni hiyo abiria wanapata nafasi ya kutoa maoni yao mbalimbali kuhusiana na Usafiri wa Anga nchini. Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ni taasisi ya umma yenye jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri wa anga katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mamlaka iliundwa kwa Sheria ya Usafiri wa Anga, Sura ya 80 (R.E 2006). Majukumu ya kisheria ya Mamlaka ni kudhibiti masuala ya ki-usalama, ki-uchumi katika usafiri wa anga na kutoa huduma za uongozaji ndege. Pia Mamlaka inatoa huduma za uongozaji ndege kwenye vituo vya ndege kumi na nne (14) ambavyo ni: Dar es Salaam, Kilimanjaro,Tanga, Arusha, Mwanza,Tabora,Kigoma, Dodoma, Iringa, Songwe, Songea, Mtwara, Zanzibar na Pemba