У нас вы можете посмотреть бесплатно Mwalimu mmoja Nairobi aishia kuendesha bodaboda kutokana na uhaba wa ajira или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Jioni ya leo darubini yetu inaelekezwa kwa kitendawili cha uhaba wa walimu na idadi ya walimu wasio kazi ambako mwalimu mmoja hapa Nairobi sasa amelazimika kugeukia kazi ya bodaboda licha ya kuhitimu na shahada ya ualimu. Elijah Ombuki alisomea chuo kikuu katika shule ya kitaifa ya Lenana na kisha kujiunga na chuo kikuu cha Nairobi, ila sasa ameishia kuendesha bodaboda kukidhi mahitaji yake ya maisha