У нас вы можете посмотреть бесплатно Fahamu kuhusu hali ya kibinadamu DRC katika Dira ya Dunia TV или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamekutana katika makao makuu ya umoja wa mataifa wakiwa na matumaini ya kuepusha kuongezeka zaidi kwa mzozo unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wamekuwa wakipiga hatua katika eneo la kusini kuelekea mji wa Uvira, ambao unapakana na mpaka wa Burundi, tangu walipouteka mji mkuu wa jimbo la Bukavu mwishoni mwa juma.