У нас вы можете посмотреть бесплатно DEREVA BODABODA ADAIWA KUUAWA NA ABIRIA WAKE или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mwili wa kijana Mwendesha Bodaboda Mjini Babati mkoani Manyara, aliyefahamika kwa jina la Edward umekutwa katika shamba la mahindi katika Mtaa wa Negamsi katika Halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara, akidaiwa kuuawa na watu wasiojulikana kisha kutokomea na pikipiki yake. Tukio hilo limeacha hofu kwa wananchi na madereva Wenzake ambao wameviomba vyombo vya Ulinzi na Usalam mkoani Manyara kufanya uchunguzi na kuwabaini wahusika wa tukio hilo na kuwachukulia hatua za kisheria.